Hello Wapendwa!
Tshs 5,000/= kwa kuku
Napenda kuwaarifu kwamba sasa Angela Catering Services inauza kuku wa nyama waliolelewa vyema na Miss. Angela Matiku mwenyewe.
Tupo Bahari beach na pia tunafanya delivery kutokana na ukubwa wa oda at least zaidi ya kuku 10.
Simu: 0656-043033
Karibuni Sana!
DKT. NCHEMBA AONGOZA MKUTANO WA WB KANDA YA AFRIKA
32 minutes ago