Pages

Wednesday, November 23, 2011

CHARITY EVENT - UKARIMU HUANZA NYUMBANI



MPANGO "SITIRI/STARA : TUVAE SOTE"


Je, una nguo zilizo katika hali nzuri lakini hauzivai na ungependa kuzitoa kwa wale wasio na uwezo kiukweli? Tunajiweka sawa kutoa nguo kwa wasiojiweza eneo ni Kondo Bahari Beach kata ya Kunduchi tarehe 10 Desemba, 2011 chini ya usimamizi wa Mama Warioba ambaye ni afisa mtendaji.

Tujulishe na tunaweza kufuata ulipo wasiliana nami bibie Angela N.M. (0754 710433).

Tuesday, August 16, 2011

KUKU WA NYAMA WAPO - ANGELA CATERING SERVICES

Hello Wapendwa!

Tshs 5,000/= kwa kuku

Napenda kuwaarifu kwamba sasa Angela Catering Services inauza kuku wa nyama waliolelewa vyema na Miss. Angela Matiku mwenyewe.

Tupo Bahari beach na pia tunafanya delivery kutokana na ukubwa wa oda at least zaidi ya kuku 10.

Simu: 0656-043033

Karibuni Sana!

Monday, March 21, 2011

Jason-Phoenix



I am a proud young mother of one, my Son my own flesh and blood.
I love you for always... This is a very exciting year for us, you are turning 8 years and I am turning 30 years. There is so much to live for, I pray that we are always under God's protection for God is Love.

Nakupenda sana Mwanangu :-)

By your young yummy mummy, Angel.

Tuesday, January 18, 2011

ANGELA CATERING SERVICES - DAR ES SALAAM, TANZANIA

Ndugu zangu, nina furaha kubwa kuwaambia kwamba sasa Angela Catering Services imeanza kazi rasmi tangu Januari 2011.

Tunapika na kuserve vyakula katika shughuli mbali mbali, harusi, birthdays, misiba.
Tunapatikana Bahari Beach.

Simu: 0754710433/0656043033
Email: amatiku@gmail.com

Menu zipo kuanzia 5,000/=, 10,000/=, 12,000/= na 15,000/= kutokana na upendeleo wako.

Karibuni sana, wapishi ni makini na wahudumu ni wachangamfu wanaojua maana ya huduma kwa mteja na kwamba mteja ni mfalme!